Pages

Sunday, December 7, 2014

MAHOJIANO KUPITIA YOUTUBE: JINSI NABII HEBRON ALIVYOTIKISA KUZIMU SEHEMU YA 3- MAVAZI


Mtume: BWANA YESU ASIFIWE!
Karibu sana ndugu watazamaji na watoto wa MUNGU na wasikilizaji katika kipindi kinachaendelea siku ya leo tena   nikiwa na mwanangu ambaye ni mototo wa MUNGU sasa anaitwa Isaya, yule ambaye alikuwa ni kiongozi wa ngazi ya tatu kutoka ufalme wa shetani akiwemo joka kuu, Lusifa alafi ndiyo yeye, YESU amenituma nimemtoa kuzimun niko naye sasa hapa anawaelezeayale yaliyopo huko na nyie mpate kufunguka msitekwe tena maana mambo yameharibika, huyu ndiye alikuwa Operator wa kazi zote za shetani unazoziona dunia nzima lakini YESU amemtoa.


Mtume:        Karibu sana Isaya!

Isaya:                        Asante sana

Isaya:                        BWANA YESU Asifiwe
Mtume:        Amen

Isaya:            Kwa jina Naitwa Isaya kwa jina langu la zamani nilikuwa naitwa Maxwell lakini sasa naitwa Isaya, Ni mtoto ambaye Mtume na Nabii alikuwa anamwongelea nilikuwa ngazi ya tatu katika ufalme wa shetani  lakini sasa hivi siko tena huko, niko katika ufalme wa MUNGU.

Isaya:            Naa ni …. nilikuwa nikisababisha mimi mwenyewe hapa duniani ni mengi sana  yametokea lakini sasa hivi siko huko kabisa “msiogope” ninachozidi kuwasihi ni kumhofia sana MUNGU na kumuheshimu MUNGU na msije mkadharau kanisa ambalo …. la YESU NI BWANA NA MWOKOZI WA MATAIFA YOTE kwa sababu hilo ni kanisa ambalo MUNGU mwenyewe ameliteua na ndilo kanisa la mwisho, kwa hiyo tuwe makini sana na hilo kanisa na pia Mtume na Nabii tusimwone mtu wa kawaida  na wala tuzimzoee yeye ni MUNGU anaongea ndani yake mda wowote, kwa hiyo tunatakiwa tuwe makini sana na msije mkakubali tena kurudi kwa shetani kwa sababu mmeshaanza kufunguka na mmeshapata vitu hadi vitu, siku hadi siku kwa hiyo muwe makini sana wana wa MUNGU

Mtume:        Aah sasa Isaya kwa siku ya leo, ndugu watazamaji na wasikilizaji kuna mambo machache ambayo ningetaka tuyazungumze, Maana yeye  aliyekuwa ndiye mtendaji mkuu na sasa YESU ndiye aliyemtoa huko na katika kazi aliyonituma nimchomoe huko,  kwa sasa ulimwengu umekwisha pinduliwa ni YESU anatawala.

Mtume:        BWANA YESU asifiwe!
Naaah! Katika mda huu tutazungumzia katika baadhi ya vipengele, tutazungumzia baadhi ya  vipengele vya mavazi na aa vyakula na magari naaa upande wa pafumu ili watu wapate kuelewa na viwasaidie na wasizidi kuangamizwa maana unajua makusudio na malengo yake.

Mtume:        Hebu tuanze kwa upande wa mavazi ambayo yanavaliwa duniani na yalikuwa kuzimu.

Mtume:        Karibu Isaya.

Isaya :           BWANA YESU asifiwe,

Mtume:        Amen

Isaya:            Vazi la kwanza napenda kuelezea ni vazi la nguo za ndani boxer labda;

Mtume:        Mh!

Isaya:            Ningependa kuwaambia kanisa hili vazi maana yake ni unakuwa unavaa vazi la nyani kwa sababu , “Boxer”  maana yake ni nyani wa kuzimu

Mtume:        Ni nyani wa kuzimu? Mh!

Isaya:            Ndio
Isaya:            Kwa hiyo unapokuwa unavaa lile vazi, unakuwa umevaa vazi la yule nyani kwa hiyo wewe unakuwa ni mzinzi kila siku, siku hadi siku.

Isaya:            Na pia kuna nguo nyingine !!!!

Mtume:        Hebu turudi kwenye upande wa boxer, Boxer hizi nguo za ndani ziko kama bukta?

Mtume:        Si ndio! Kwa hiyo zile ndio nguo za ndani?? Tuseme chupi  za nyani? Huko kuzimu? Na kwa nini duniani wanaziita boxer?

Isaya:            Lile Jina lililetwa huku duniani ili kuchezea akili za watu wasije wakaelewe nini maana yake.

Mtume:        Mh!

Isaya:            Na ndio maana duniani zikaitwa duniani kwa jina la boxer.

Mtume:        Mh!

Isaya:            Na mtu anapokuwa anavaa ile nguo anakuwa anapata zile roho za yule nyani unakuwa ni mzinzi tu.

Mtume:        Kwa hiyo ndio lengo la hiyo!

Mtume:        Basi tuendelee kwenye mavazi mengine

Mtume:        mhh

Isaya:            Naaaa Vazi lingine ni Bikini  unapokuwa unavaa unakuwa unajizuilia mambo yako wewe mwenyewe,

Mtume:        Mhhh!

Isaya:            Unakuwa huendi mbele wala  wala hufanikiwi kwa sababu  lile vazi ni vazi la mama wa Makahaba



Mtume:        Hizi nguo ambazo wanadamu wanazozivaa ambazo uliniambia ni za kuzimu  aaah! Lengo! hapa duniani ziko nguo nyingi nilitaka kwa faida kidogo useme baadhi  najua huwezi kuzimaliza japo kidogo ili wasikilizaji na watazamaji wazidi kupona

Isaya:            BWANA YESU asifiwe

Mtume:        Amen

Mtume:        Ndugu msikilizaji na mtazamaji haya ni mambo mchache lakini zaidi unaweza kufuatilia katika you tube na katika vipindi vingine maana mambo ni mengi sana.

Mtume:        Haya, nitakuja turukie katika upande wa chakula, lakinu tubase katika vinywaji mabavyo mlikuwa mnavitengeneza kuzimu lakini huku duniani vinanyweka na kazi zake na lengo lake.

Isaya:            BWANA YESU asifiwe!

Mtume:        Amen

Isaya:            Kinywaji cha kwanza napenda kuwambia ni whisky,whisky maana yake ni mkojo wa majini, unapokuwa unakunywa unakuwa tayari umeshakunywa mkojo wao

Mtume:        Mh!

Isaya:            Alafu pia kuna bia(beer)

Mtume:        Mh

Isaya:            Ile bia maana yake ni majasho ya majini kule kuzimu  …………… wao hawanywi
Mtume:        Mh!

Isaya:            Alafu kuna wine, wine ni mate ya majini kule kuzimu wanayaleta huku duniani kwa hiyo unapokuwa unakunywa kazi yake yanachukua vitu vyako katika maisha yajo siku zote

Isaya:            Alafu  pia kuna soda

Mtume:        Mh!

Isaya:            Maana yake unakuwa umekunywa mavi ya majini pasipo wewe kujielewa.

Mtume:        Majini gani?

Isaya:            Kuna jini moja linaitwa Mufilisi.

Mtume:        Naa kwa nini vimeletwa duniani?

Isaya:            Vile vitu vimeletwa huku duniani kwa malengo ya kwamba mtu amekwisha kupotea pasipo yeye kujielewa.

Mtume:        Ahaaaaa!
Mtume:         Hebu endelea kuelezea vinywaji vingine vya huko chini.

Isaya:            Naa, pia kuna maji naaa kinywaji ambacho ni  maarufu sana Dar es Salaam

Mtume:        Mhhh

Isaya:            Kile kinywaji kimetengenezwa na mate ya konokono

Mtume:        Mh

Isaya:            Na unavyokuwa unakunywa yale maji ni tayari unakuwa umeshakunywa makufuru na madahara yake unakuwa umeshapoteza maisha kwa sababu yale maji ni agano lao unakaa kidogo na unakufa

Mtume:        Bwana Isaya,

Mtume:        Labda nirudi nikuulize swali, unaposema kinywaji maarufu ni maji, ni soda ni chai?

Isaya:            Maji,

Mtume:        Maji maarufu

Mtume:        Kwa hiyo ni maji maarufu yanayotumika Dar es Salaam kwa wingi kuliko yote,

Mtume:        Basi, tuendelee

Isaya:            Na pia kuna hivi vinywaji aina ya soda vile vinywaji ni nyeusi, soda yoyote ambayo ni nyeusi, maana yake unakunywa  tayari umeshakunywa jasho la majini

Mtume:        Mhhh

Isaya:            Naunapokuwa unakunywa unaweza ukajikuta hatua za mwisho umepoteza mali zote na hatua za mwisho pia ukafa

Mtume:        Mh!
Mtume:        Ahaaaaaaa Bwana Isaya labda ungeeleza vinywaji vingine ambavyo unaona ni komini (common) najua ni vingi sana ambavyo unaweza , ambayo unaona vitawasaidia ndugu watazamaji kuelewa

Mtume:        kwa hiyo ninachowasihi mimi nilikuwa nayajua haya yote kinywaji bwana chenye rangi nyeusi,  chochote! Habari ya cheusi, habari ya soda hiyo aaah

Mtume:        Eendelea na vigine

Isaya:            Na pia kuna juice maarufu sana kule Dar, Ile juice maana yake 
Mtume:        Ambayo iko na lambalamba, Barafu eheeeeeeee

Mtume:        Kampuni hiyo  yaani !!!!

Mtume:        Hebu elezea kampuni hiyo lakini usiitaje jina maana wewe ndio uliyoitoa hilo jina na kuisajili kule kuzimu

Isaya:            Maana yake, Kuna  mti kule kuzimu,unasagwa na  ule mti huwa unasanywa, ule mti huwa unatoa maji, na maji yale ni makufuru, kwa hiyo unapokunywa tayari unakuwa umekunywa Makufuru, na hukai baada ya masaa tayari unakuwa umekufa lakini ila watu watakuona kuwa upo hai
Mtume:        Kwa hiyo hivi vinywaji watu wanaovitumia tayari wanakuwa wameshakufa? Ni Mabox !!?

Isaya:            Ndio

Mtume:        Na wakishakufa wanaenda kwa shetani, ili miungu wapate

Mtume:        Na tuingie katika upande wa magari maana na wewe ulikuwa naya kwako

Mtume:        Wewe ulikuwa na gari gani? Najua ulikuwa na  magari mia tatu (300)
Mtume:        Hebu taja machache uliyokuwa nayo japo sasa hivi huna kitu tena YESU atakupa ya kwake mazuri ya kwake mazuri

Mtume:        Mhhh
Mtume:        Ok! Hii limo ina maana gani?

Isaya:            Hii limo maana yake ni nyoka

Mtume:        Mhhhhh

Isaya:            Unapokuwa umepanda hiyo gari tayari, Maana yake unakuwa umepanda nyoka

Mtume:        Ndio maana linakuwa lina kinywa kirefu hivi

Mtume:        Sasa lengo la ile kuletwa huku duniani ni nini?
Isaya:            Hilo gari lengo lake ni kuwawameza watu, unapokuwa umepanda  hili gari unakuwa umeshamezwa kwenye tumbo la  nyoka

Mtume:        mhhh

Isaya:                        Ambaye ndiyo joka kuu mwenyewe

Mtume:        mhhh!

Isaya:            kwa hiyo kutoka inaweza ikawa ni shida sana, labda kama utakuwa kwenye kanisa la YESU NI BWANA NA MWOKOZI WA MATAIFA YOTE,

Mtume:        Haaaaaaaaha

Mtume:        Mbona kila kitu unasema kwenye KANISA LA YESU NI BWANA kwani  kwingine hakutoki?

Mtume:        heehheee

Isaya:            Kwa sababu hilo ndilo kanisa ambalo MUNGU ameliteua na ndio Kanisa ambalo MUNGU yupo hapo na sio kanisa lingine?

Mtume:        Hayo mengine yanakuwa na shida?

Isaya:            Ndio!

Mtume:        Hebu elezea kidogo ila usitaje majina,

Isaya:            Hayo makanisa, kazi yake nikuchukua fedha za watu na , kupoteza uthamani wa maisha ya watu, unaweza ukajikuta huendelei, wewe unarudi nyuma, mengine nimeyasahau hilo ni mmoja wapo nalolikumbuka

Mtume:        ahaaaaa Mhhhh!

Mtume:        Tuje kwenye habari za pafumu maana wanadamu wengi wanajipulizia pafumu kumbe zina shida tupu

Isaya:                        Upande wa pafume mimi sikumbuki  mhhh!

Mtume:        Elezea hizo kidogo tu

Isaya:                        Ila nina pafume ninayoikumbuka ile ya kiarabu ambayo

Isaya:                        Ile pafumu ni kali sana na ina harufu ya udi na ubani

Mtume:        Mhhhhhh

Isaya:            Na unapojipulizia unakuwa umeshakaribisha mapepo kutembea na wewe kila mahali, na kiongozi wako  wakukuongoza anakuwa Maxwell.

Mtume:        Mhhhh

Isaya:             Ambaye sasa hivi naitwa Isaya

Mtume:        Ambaye ni wewe

Mtume:        Tuje sasa kwenye habari ya mshahara.

Mtume:        Ulikuwa unalipwa shilingi ngapi kwa mwezi, kwa pesa za kitanzania sio dola

Isaya:            Kwa mwezi nilikuwa nalipwa fedha za kitanzania millioni mia nane

Mtume:        Na ulikuwa unaweza kuzitumia kwa mwezi zinaisha?

Isaya:            Nilikuwa sijimalizi zote

Isaya:            Ila nilikuwa naweza kutumia milioni mia tano (500)kwa mwezi .

Mtume:        heeeeeh
Mtume:        Sasa tunakuja kwenye jambo lingine

Mtume:        Kwenye upande wa ndege au usafiri, wewe peke yako ndio ulikuwa una ndege kubwa kuliko kuzimu yote. Hebu tuelezee kuhusu hiyo ndege na kwa nini hiyo ndege haikuweza kufika duniani? Ikawa inaenda sehemu zingine?

Isaya:            BWANA YESU ASIFIWE!

Mtume:        Amen

Isaya:            Ile ndege kazi yake kubwa ilikuwa ni kukagua kazi zinaendeleaje kule kuzimu,

Isaya:            Ile ndege haikuweza kufika duniani kwa sababu ya mtu mmoja ambaye ni Mtume na Nabii peke yake , alikuwa anaifanya hiyo ndege inapokuja duniani inapata matatizo mbalimbali, na ile ndege ilikuwa inauwezo wa kupita duniani.

Mtume:        Mmmh

Isaya:            Ilikuwa na uwezo wa kupita duniani, ina maana hiyo ndege ingepita katika nchi, nchi hiyo ingegeuka juu chini.

Mtume:        Hiyo ndege ilikuwa inaitwa nini?

Isaya:            Airforce 7

Mtume:        Airforce 7?

Mtume:        Ukubwa wake ni kama vipi?

Isaya:            Kama Africa nzima

Mtume:        Na ni nani aliyekuwa amekununulia?

Mtume:        Baba yako huyo joka kuu?

Isaya:            Mimi mwenyewe

Mtume:        Na wewe ulikuwa fundi kila kitu kabisa?

Isaya:                        Ndio
Mtume:        Naaa Pilot wako! Pilot wako unamkumbuka

Isaya:            Namkumbuka lakini jina silikumbuki

Mtume:        Na alikuwa jinni?

Isaya:            Ndio.

Mtume:        Maana kuna siku moja nilikuwa na pambana  naye  alikuwa anakutafuta sana.

Mtume:        Ndugu msikilizaji na mtazamaji, endelea kufuatilia YouTube na CD nyingine katika kipindi kingine.

Mtume:        Ubarikiwe.

Mtume:        Ndugu Mtazamaji na msikilizaji na kuhekimisha kwa jina la YESU sasa uokoke urejee :

Mtume:        USEME

 BWANA YESU NINAOMBA UNISAMEHE DHAMBI ZANGU ZOTE NILIZOZITENDA KWA KUJUA AU KUTOKUJUA NAKATAA UCHAWI NA MAMBO YA SHETANI NAJIKABIDHI KWAKO BWANA YESU NISHIKE MKONO MIMI NI MALI YAKO, NIKOMBOE, AMEN.



NABII HEBRON.