Pages

Sunday, October 19, 2014

JE UNAIJUA BENKI YA KUZIMU INAITWAJE?

SHARE HOLDER WAKE?
JINSI ILIVYOKUWA INAWAPA WATU PESA DUNIANI?

SASA YESU WA NAZARETI KAIBOMOA SATANIC WORLD BANK!


BWANA YESU ASIFIWE, ASIFIWE YESU WA NAZARETI. Kama nilivyowaelezea tokea YESU aniite nikamtumikie lengo ni kuwakomboa watu wa mataifa yote wamrudie yeye na kuwatoa katika mateso ya shetani na kuubomoa ufalme wake kama ilivyo sasa na mpaka ule mwisho wake. Hapa ulimwenguni siyo jambo geni mnasikia watu wamekuwa freemason iwe katika kila sekta ili wapewe pesa na shetani, ni wengi mmesikia kuwa kuna watu wanapesa nyingi hata ukifikiria asili ya pesa zake hautajua alipatia wapi na ndio matajiri wengi katika ulimwengu wote hao walikuwa wanachukua pesa katika benki ya shetani ilivyokuwaga kuzimu ila sasa benki hiyo imechomwa na YESU WA NAZARETI haipo tena na wala watu waliokuwa wanategemea pesa za freemason mtaona wakiporomoka, filisika katika dunia yote, myaonapo hayo ujue ujumbe aliyokuletea Nabii Hebron wa Tanzania umetimia, hawatapata pesa tena sababu benki ya kuzimu nimeichoma moto pamoja na wafanyakazi wake wote huko kuzimu.

Benki hiyo ya kuzimu ilikuwa inaitwa (JLM BANK) kirefu chake ni majina matatu ya shareholders (Joka kuu, Lusifa, Maxwell Bank) benki hii ilikuwa inatengeneza pesa aina ya dola tu na cha ajabu hata huku duniani zikiwekwa katika machine ya kukagua pesa zinaonekana ni original kama hizi hizi zinazotumika duniani. Pesa hizi ndio walizokuwa wakipewa watumishi waliojiingiza katika mtandao wa freemason, wasanii, viongozi mbali mbali, wafanya biashara na baadhi ya vyama vya siasa katika nchi mbali mbali (pesa chafu). Nitaelezea katika kanisa ili watu wapone wasidanganyike sababu kupitia hizi pesa kanisa kupitia watumishi wanaompenda shetani walijiingiza na kuliingiza kanisa kiasi cha 98% ikatekwa na shetani na YESU akabakia na 2% ya watu, 98% ikawa ni idadi ya joka kuu. Ndugu msomaji pesa hizi zilikuwa zinaletwa kimwili kutoka kuzimu kupitia malango ya nchi ambazo nimezitaja katika makala ya Nabii Hebron isemayo Je unajua kuzimu ipo wapi katika ramani ya dunia? Na cha ajabu hata hizo serikali za nchi hazihusiki na kupokea hizo pesa wala kujua. Ilikuwa ni jambo la siri, na cha ajabu mtaona baadhi ya makanisa yanaibuka na utajiri ambao unaleta maswali ghafla ghafla, waliokuwa wanapewa pesa ili waje waieneze injili ya shetani kwa speed ili YESU akose watu, na utaona ukichunguza sababu wengi mnayajua haya  ila leo ni siku ya kuhakikishiwa jibu lako ulilosubiri muda mrefu hadi leo YESU WA NAZARETI anakufichulia. Na kupitia pesa hizo za shetani hapa ulimwenguni yamejengwa makanisa mengi sana kupitia pesa za shetani na watu wakaona ni pesa kutoka kwa MUNGU kumbe ni shetani. Nanukuu maneno ya YESU alivyonieleza hata kabla ya kuiivunja hii benki, akaniambia Hebron mtumishi wangu wanadamu wanafikiri mimi nipo katika hayo magorofa, vinanda, mimi sipo hapo kabisa na sitendi mimi, hayo ni majengo ya shetani, mimi nilibakia nikishangaa ila sasa namuelewa, kumbe pesa ni za shetani. Je nikuulize swali, je shetani akijenga nyumba yake YESU ataweza kuja kukaa katika hekalu la shetani? Jibu, haji, hii ni sababu ya pesa za freemason na unapoabudu katika kanisa la jinsi hilo na wewe muumini tayari umetekwa na shetani, leo ufunguke utoke huko.

Kanisa lenye benki- benki hiyo asili ya mwanzilishi wa huduma hiyo uelewe ukweli, huyo amepewa mtaji na shetani na kazi anayoifanya ni kueneza ufalme wa shetani, na kupitia benki hizo kila anayeweka pesa hapo ananyang’anywa nyota, uthamani wa pesa zake zinapelekwa kwa joka kuu na matokeo yake matatizo na kufilisika hakukuachii na mwisho wa kifo chako unabakia kuzimu, sababu pale tu unapopeleka pesa yako katika benki za kanisa nafsi yako inatekwa unakuwa umeshakufa kiroho ila mwili unabakia gogo. Siri anakuwa anajua kiongozi mkuu wa huduma hiyo hayo ni maagano ya kutoka kwa shetani afanye biashara. Wakati YESU WA NAZARETI alisema usisumbukie chochote, fanya kazi yangu, sasa pima maneno hayo.

Yatakayotokea na yameshaanza kuanzia sasa, mtaona muelekeo unapotoa na kufilisika na mengineyo atafanya MUNGU peke yake sababu ya hasira aliyotesewa watoto wake na baadhi ya wachawi na watumishi kuwateka watoto wa MUNGU, ndivyo ilivyo na kutabadilika.

Pesa hizi za kuzimu zinatumika katika nchi mbali mbali kuvuruga amani iliyoletwa na MUNGU, kazi kubwa ni VITA.

NOTE:
Hivi umeshajiulizaga huko wanakotoaga misaada ya kuwaletea pesa makanisani na miradi je wao hawana shida na hizo pesa? Hivyo ndivyo ilivyotumika kuliingiza kanisa kwenye freemason na kupitia watumishi ambao wanatekwa na shetani. Na kuanzia kutumia jina la YESU kuzini roho za wana wa MUNGU pasipo kujua na kupenda. Leo tubu BWANA YESU naomba unisamehe naja kwako, uniandike jina langu katika kitabu cha uzima, niondolee maroho ya freemason niliyoyapata katika majengo yaliyojengwa kwa pesa chafu za kuzimu, sirudi huko tena. Niongoze YESU WA NAZARETI, YESU WA KWELI, Amen.


NABII HEBRON.